Monday, March 4, 2013

WANYAMA WAKUBWA WAZIDI KUVUTA WATALII MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO NA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI

SIMBA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI WAKIWA WAMEPUMZIKA

TEMBO WA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO WAKIPISHA MAGARI YA WAGENI IKIWA NI ISHARA YA JINSI WANYAMA NDANI YA HIFADHI HIYO WANAVYOISHI NA WANANCHI PAMOJA.

TWIGA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI WAKIWA WAMEPUMZIKA KIVUTIO KWA WAGENI

KUNDI LA NYATI.

BAADHI YA WATALII WAKIWA WANAPIGA PICHA SIMBA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI.

NDANI YA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO KUNA WANYAMA WENGI WAKUBWA KAMA TEMBO

No comments:

Post a Comment